Jinsi ya kuwasha GPS kwenye Smartphone yako 2022. - SAMALEN TV

SAMALEN TV

Trending on SAMALEN TV App

Notification texts go here Contact Us Buy Now!
المشاركات

Jinsi ya kuwasha GPS kwenye Smartphone yako 2022.

Please wait 0 seconds...
Scroll Down and click on Go to Link for destination
Congrats! Link is Generated

Jinsi ya kuwasha GPS kwenye Smartphone

Ni rahisi kuwasha gps kwenye simu

Upande wa juu wa screen unaoonyesha tarehe, network ya simu nk

Iguse hiyo sehemu kwa kushusha chini

Utaona machaguo mengi kama kuwasha data, bluetooth, wi-fi, tochi na vitu vingine

GPS hutambulika kama Location

Ukigusa tu basi gps receiver ya simu itaanza  kusoma eneo ulilopo

Na unaweza ukaona eneo ulilopo kwa kufungua ramani ya Google

Itakuonyesha ulipo kwa wakati huo

Usahihi wa GPS kuonyesha Eneo

Mfumo unatoa kwa usahihi mkubwa taarifa za eneo ambalo simu ipo

Ila si kwa usahihi wa asilimia mia

GPS huwa ipo nyuma kwa umbali wa mita tano toka eneo ambalo kifaa cha gps kilipo

Tatizo linakuwepo hasa pale simu inakuwa inapata data kutoka kwenye setilaiti chache

Tatizo hili linalekebeshwa kwa kuiwezesha simu janja kusapoti mifumo kama ya GPS ya nchi zingine

Ndio maana simu nyingi za daraja la kati na juu huwa zina mifumo zaidi ya mmoja ya utambuzi wa maeneo

Utakuta simu moja inakubali Galileo ya umoja wa ulaya, Glonass ya urusi na Beidou ya china

Kama utakuwa na matumizi mengi ya GPS inafaa ukawa na simu inayokubali mifumo mingi

Matumizi ya GPS na Faida Zake

Taarifa za GPS zinaweza kukusaidia kwenye mengi mno

Ukiwa umeiwasha itakusaidia kujua spidi ya chombo chochote cha usafiri unachosafiria ikiwemo baiskeli

Hilo linafanikiswa kwa kutumia aplikesheni

Kuna app nyingi zinazoweza kuonyesha spidi na umbali kutumia gps

Moja ya app iyo inaitwa GPS speedometer

Pia, inaimarisha ulinzi hasa pale simu inapopotea

Kama gps ikiwa imewashwa utaweza kufuatilia eneo ambalo simu ipo

GPS pia hutumika kupima viwanja

Je Ni Salama kuwasha GPS muda wote?

Kiujumla ni salama kama wewe si muharifu

Ubaya wa kuwasha gps mara kwa mara unakuja kwa makampuni makubwa ya teknolojia kama Google, Facebook, Apple nk

Yana tabia ya kuchota taarifa zako pasipo kujua japokuwa wengi hurusu hizo app kuchota data

Haya makampuni hutumia hizo taarifa kwenye biashara zao za matangazo

Mtu akiweka tangazo anaweza kuchagua eneo ambalo tangazo linapaswa lionekane

Kiujumla, ni vizruri GPS ikawa ON muda wote

Inakupa urahisi kuifutalia simu inapopotea.

Endelea kuwa nasi Share App ya TUTECH pia Jiunge nasi Telegram @Samalentvtech 

Getting Info...

إرسال تعليق

Your message is directed to SAMALEN TV
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.